Nina matatizo ya kiafya: Udadisi wa hali ya juu wa kiakili.
Situmii madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya ni mimi mwenyewe; nahitaji kusaidiwa!
Wanaume hujiua kwa sababu ya fedha. Wanawake hujiua kwa sababu ya mapenzi.
Silaha kuu ya uchoyo ni kujitolea kwa ajili ya watu wengine. Ni upendo.
Kalo nggak nulis, ya baca. Kalo nggak baca, ya nonton film saja lah.
Serikali imepewa mamlaka na wananchi kuwaendeshea nchi yao. Mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.
Ijapokuwa maombi ya sifa yana nguvu kuliko maombi ya kushukuru, kushukuru kuna nguvu kuliko kuomba.
Hadithi ya maisha yangu ni yangu. Wewe ni nani kusema hadithi yangu si ya kweli?
Yo ya no sé que escribir... Es mi forma de saber que ya te olvidé
I ain’t never had me a single round in a professional, boxin’ ring. I’m whatcha call a street fighter, a knuckle brawler. Knives, beer bottles, chairs, chains, rocks, sticks, tire irons, and even teeth. Ya name it. I’ve seen ‘em all. And I ...
Kipo kitu kinaendelea kufanyika katika siku zetu za furaha na katika siku zetu za huzuni kwa kila mmojawetu hapa duniani bila ya upendeleo wowote. Kitu hicho ni kuingia na kutoka kwa pumzi, au kupumua. Ukiithamini pumzi inayoingia na kutoka ndani ya ...
Rocky: I been comin' here for six years, and for six years ya been stickin' it to me, an' I wanna know how come! Mickey: Ya don't wanna know! Rocky: I wanna know how come! Mickey: Ya wanna know? Rocky: I WANNA KNOW HOW! Mickey: OK, I'm gonna tell ya!...
Easy come, easy go, That's just how you live, oh, Take, take, take it all, But you never give. Should've known you was trouble From the first kiss, Had your eyes wide open. Why were they open? Gave you all I had and you tossed it in the trash, You to...
Kaisy kahoon ke mery liay kya ho tum? Khwahish hoty tu mit jaty, Zaroorat hoty tu poori ho jaty, Aadat hoty tu badal jaty, Majboori hoty khatam ho jaty, Waqt hoty ager tu guzar jaty, Jo nishan hoty kahin mil jaty. Tu kya ho tum? Saasain kahoon, khwaa...
İstediğin bir şey olmuyorsa ya daha iyisi olacağı için ya da gerçekten de olmaması gerektiği için olmuyordur.
Nilijitolea sehemu ya maisha yangu ya kijamii na kifamilia kuweza kuchapisha Kolonia Santita katika kiwango nilichokitaka.
Fikiria kwanza maana ya kitu unachofikiria, halafu tenda. Fikiria kwanza maana ya kitu unachosema, halafu sema.
Wanaume wanaojiua kwa sababu ya mapenzi ni wanawake; wanawake wanaojiua kwa sababu ya fedha ni wanaume.
Radia hakuwa na makosa. Wengi huishi maisha yao bure. Yeye aliishi ya kwake kwa ajili ya watu. Hakuishi tu kama raia wa Tunisia. Aliishi kama raia wa uanadamu, maadili mema na uchapakazi. Watu walimsifu kwa kuwa na kaulimbiu ya 'Acha dunia katika hal...
Kuwa tajiri si kazi rahisi. Ukipata milioni ya kwanza utataka nyingine kulinda hiyo ya kwanza. Ukipata ya pili utataka mbili zingine kulinda hizo mbili za kwanza, n.k. Si kazi rahisi. Si kama unavyofikiria. Utajiri haujanipa furaha. Umenipa uhuru. Nd...
Sometimes lost treasures can be reclaimed.